&&&& Yasikupite matokeo ya Arsenal vs Hull City &&&&

TEOOOOO 
Ligi kuu ya England inakaribia kufikia tamati na jana Arsenal imeaonyesha nia ya kutaka kumaliza ligi hiyo ikiwa katika nafasi tatu za juu baada ya jana kucheza na Hull City.
act
Katika mchezo huo  ambao Arsenal walionekana kuwadhibiti vyema wapinzani wao waliibuka na ushindi wa mabao 3-1, mabao ambayo yalifungwa na Alexis Sanchez amefunga mabao mawili, huku Aaron Ramsey akapachika moja na kuisaidia Arsenal kuibuka na ushindi  huo dhidi ya wapinzani wao Hull City.
teo
Kwa ushindi huo, Arsenal imeendelea kubaki katika nafasi ya tatu, ikiwa na pointi 70 sawa na Man City katika nafasi ya pili na imebakiwa na mchezo mmoja mkononi.
dog
Mbwa akiwa amevalishwa jezi ya Hull City
Unahitaji chochote ninachokipata kisikupite? jiunge na mimi kwenye Twitter, Facebook andika ipyana stephen utanipata kupitia hapo na Instagram kwa kubonyeza hapa p yhaa TV.


Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment