 |
Msaani
maarufu wa Bongo Movie Mboto ni mmoja wa team ya TMT katika kuwapa
maelekezo wasanii waliojitokeza kushiriki shindano hilo |
 |
Majaji wa TMT Rich,Monalisa na Roy katika meza yao wakitazama na kujaji vipaji vya wasanii waliojitokeza katika mashindano |
 |
Mboto akiwa kazini
 |
Meneja
wa mradi wa TMT 2015 Saul Mpoki akizungumza na wasanii wa mkoa wa Mbeya
kuhusu makusudio ya mradi huu katika kukukuza vipaji vyao na
kuwatengenezea mwanya wa ajira.
 |
Jaji Mkuu Roy akitoa maelekezo namna ya kuigiza kwa kutumia mswada (script) kuusoma na kuuelewa vizuri |
 |
Washiriki wakiwa mbele ya majaji wakipewa maelekezo namna ya kuigiza kwa kutumia mswada (script) hasahasa kuusoma na kuuelewa. |
 |
Washiriki wakisoma mswada (script) na kuigiza kabla ya kwenda kwa majaji kuonesha uwezo wao |
 |
Washiriki wakisoma mswada (script) na kuigiza |
 |
Washiriki wakisoma mswada (script) na kuigiza kabla ya kwenda kwa majaji kuonesha uwezo wao |
 |
Baada ya kusoma Script wanasubiri kuingia ndani kwa majaji kuonesha ujuzi wao katika kuigiza kutumia mswada (script) |
 |
foleni kuingia ndani kwa majaji kuonesha ujuzi wao katika kuigiza kutumia mswada (script) |
 |
Majaji watatu wa TMT 2015 |
Share
Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com
Phone:0719337774
0 comments:
Post a Comment