Usiku
wa kuamkia leo Alikiba msanii wa bongo flava alivamiwa na watu wapatao
20. Watu hao ambao walikuja na silaha kama mapanga wanasemekana kuwa ni
majambazi. Walivuja nyumba na kuiba vitu walivyoweza kuiba. Pia
walimtesa mlinzi nakutaka awaeleze Alibika yako yapi. Pole sana Ali.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment