Rais
wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete,
akipunga mkono kuwasalimia wananchi wakati alipokuwa akiwasili kwenye
Uwanja wa Uhuru, Jijini Dar es salaam, leo kwa ajili ya kuhudhuria
Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na
Zanzibar. Kushoto ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Davis
Mwamunyange .Picha na OMR
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akiwa na baadhi ya Viongozi wenzake wa Serikali, wakisimama kutoa
heshima wakati ikipigwa mizinga 21, uwanjani hapo. Picha na OMR.
0 comments:
Post a Comment