MABINGWA WA LIGI KUU NDO HAWA

Mabingwa wa ligi kuu Soka Tanzania Bara, Young Africans wamesema hawana mpango wa kuiachia timu yoyote kuweza kushika nafasi ya pili katika ligi hiyo inayotarajiwa kumalizika Mei 9 mwaka huu.Akizungumza Jijini Dar es salaam, mkuu wa kitengo cha habari na mawasiliano Yanga Jerry Muro amesema katika mechi zilizobakia, timu itacheza kwa kujituma japo imeshajihakikishia ubingwa.
Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment