
afrika kusini wazidi kufukuzwa raiya wake nchi tofauti tofauti africa
Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe amesema mataifa ya Afrika yanapaswa
kuwazuia raia wake kuhamia Afrika Kusini kwa shabaha ya kudhibiti
vitendo vya vurugu dhidi ya wahamiaji nchini humo. Kauli hiyo ameitoa
jana katika mkutano wa kilele wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi zilizo
kusini mwa Afrika SADC, uliofanyika mjini Harare.

0 comments:
Post a Comment