Imebainika Bifu ya Vanessa Mdee na Shilole ilikuwa Kiki tu....Soma Hapa


Siku hizi kutafuta Kiki hata kwa kutukanana na mabeef imekuwa kitu cha kawaida kwa wasanii wetu hapa Tanzania...
Unaambiwa Ile bifu ya Wanamuziki warembo wawili Vanessa Mdee na Shilole imekuja kubainika kuwa ilipangwa ili kuvutia watu katika Show yao ya pamoja inayotarajiwa kufanyaka Club ya Bilcanas jijini Dar Jumapili hii...

Kwenye show hiyo Vanessa Mdee na Shishi Watapanda jukwaani kuonyeshana nani mkali kati yao..

Usikose mtu wangu...Chaaaaa Unakosaje sasa kushuhudia magumi na makofi ya Shilole akimchapa Vanessa Mdeee
Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment