Mgogoro wa wahamiaji Ulaya
umeongezeka jana usiku baada ya udhibiti mipaka kutambulishwa na
Ujerumani ikikiri kushindwa kukabiliana na ongezeko hilo.
Ujerumani imeamua kuwashutuma
wengine ikiwemo nchi ya Uingereza kwa kutochukua wakimbizi zaidi
baada ya kusema kuwa haitowarejesha wakimbizi wanaotoka Syria.
Kutokana na hali hiyo suala la
kusafiri bila paspoti katika nchi za Umoja wa Ulaya, linatarajiwa
kufutwa, baada ya Ujerumani kuiomba Italia kuimarisha udhibiti
mipakani.
Wahamiaji wakiwa wamerundikana mitaani Ulaya
Wahamiaji wakipambana na askari
P yhaa tv coming soon
Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share
face book ipyana stephen
Share
Share
instagram p yhaa tv
instagram p yhaa tv
usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos





0 comments:
Post a Comment