Dakika zipatazo 40 kabla ya dirisha la usajili barani ulaya kufungwa,
klabu ya Manchester United imetangaza usajili wa mshambuliaji mpya.

Mshambuliaji huyo ni Anthony Martial, kinda mwenye miaka 21, raia wa Ufaransa ambaye alikiwa akikipiga katika klabu ya As Monaco ya Ligue 1.
United wamekuwa sokoni kutafuta mshambuliaji wa kumsaidia Wayne Rooney na kocha Louis Van Gaal aliahidi kusajili mshambuliaji kabla ya dirisha la usajili kufungwa lakini haikutegemewa angemsaini kinda huyo kutoka Ufaransa.

Bei aliyonunuliwa mshambuliaji huyo bado haijawekwa wazi ila ripoti zinasema United wameilipa Monaco kiasi cha £36m.
Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos
Mshambuliaji huyo ni Anthony Martial, kinda mwenye miaka 21, raia wa Ufaransa ambaye alikiwa akikipiga katika klabu ya As Monaco ya Ligue 1.
United wamekuwa sokoni kutafuta mshambuliaji wa kumsaidia Wayne Rooney na kocha Louis Van Gaal aliahidi kusajili mshambuliaji kabla ya dirisha la usajili kufungwa lakini haikutegemewa angemsaini kinda huyo kutoka Ufaransa.
Bei aliyonunuliwa mshambuliaji huyo bado haijawekwa wazi ila ripoti zinasema United wameilipa Monaco kiasi cha £36m.
P yhaa tv coming soon
Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share
face book ipyana stephen
Share
Share
instagram p yhaa tv
instagram p yhaa tv
usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos

0 comments:
Post a Comment