Kiungo mpya wa klabu ya Manchester City aliyejiunga na klabu hiyo akitokea klabu ya Wolfsburg ya Ujerumani kwa dau la pound milioni 54, Kevin De Bruyne anaonekana kuwa na furaha na maisha ya Manchester City yeye pamoja na mpenzi wake Michele Lacroix.
Michele Lacroix ambaye amekuwa na mahusiano na staa huyo toka mwaka 2014, alipiga picha na kuiweka katika mtandao wa kijamii wa Instagram na kuelezea furaha yake kwa mpenzi wake kurudi tena Uingereza na kuwa ni sawa na kufungua ukurasa mpya wa mapenzi yao.
P yhaa tv coming soon
Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share
face book ipyana stephen
Share
Share
instagram p yhaa tv
instagram p yhaa tv
usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos

0 comments:
Post a Comment