” Okay….nimeulizwa na Wengi na pengine yanasemwa mengi kuhusu ni
Chama kipi cha Siasa nina support Kama ilivyoonekana Kwa Wasanii
Wenzangu wengine..! Kwa kifupi nitajaribu kufafanua machache Kwa huu
uwezo mdogo wa kufikiri nilijaaliwa na Mwenyezi Mungu..! Kwanza,kila
binadamu/mwananchi ana uhuru wa kuchagua na ku support
anachokipenda…kwahyo sitangaa wala kuchukia Flani ku support upande
flani Pili,Mimi Kama mm(binafsi)hii ni Mara yangu ya kwanza kupiga kura
kwahyo nimeamua kuitumia Kwa busara na kuifanya iwe na kwanza isiyo na
majuto Kwa kutofuata mkumbo wowote wa ndugu,jamaa,marafiki au watu
walionizunguka..! Tatu,Nimependa kuitumia NAFASI hii zaidi
Kwa UHUSIKA
wa
ELIZABETH na sio LULU nikimaanisha ikiwa kila kura ya mwananchi wa
wakawaida ni ya siri na kuuridhisha moyo wake basi na mm nitakuwa
mwananchi wa kawaida kbsa katika hili..! Nne,natoa pongezi Kwa wasanii
wenzangu waloweza kushiriki Kwa namna moja au nyingine ktk ku support
upande mmoja au mwingine kwani wameonyesha ujasiri na mapenzi ya kweli
Kwa vyama wanavyo support ILA tu mabishano ya HOJA ni mazuri zaidi na
yanaweza kuepusha ugomvi au kuvunja mahusiano yetu ambayo yalikuwepo
kabla ya UCHAGUZI na yatatakiwa kuendelea kuwepo baada ya UCHAGUZI..!
Tano,Nawatakia Kila La kheri Wagombea wote na Natumaini Uchaguzi utakuwa
wa SAWA na HAKI..! Mwisho,mimi nimejiandikisha na nina KIKATIO changu
tayari,napenda kuwahimiza wananchi/WaTanzania wenzangu kujitokeza katika
uchaguzi ili kumchagua yule unayeona anakufaa….tuombe Mungu na
Tujitahidi uchaguzi uwe wa Amani na tuepuke maneno au vitu Vyovyote
vinavyoweza kuashiria kuleta vurugu katika uchaguzi wetu
Mkuu…!#MunguIbarikiTanzania#KuelekeaUchaguziMkuuOctober2015#KuraYanguSiriYangu
”
ELIZABETH na sio LULU nikimaanisha ikiwa kila kura ya mwananchi wa
wakawaida ni ya siri na kuuridhisha moyo wake basi na mm nitakuwa
mwananchi wa kawaida kbsa katika hili..! Nne,natoa pongezi Kwa wasanii
wenzangu waloweza kushiriki Kwa namna moja au nyingine ktk ku support
upande mmoja au mwingine kwani wameonyesha ujasiri na mapenzi ya kweli
Kwa vyama wanavyo support ILA tu mabishano ya HOJA ni mazuri zaidi na
yanaweza kuepusha ugomvi au kuvunja mahusiano yetu ambayo yalikuwepo
kabla ya UCHAGUZI na yatatakiwa kuendelea kuwepo baada ya UCHAGUZI..!
Tano,Nawatakia Kila La kheri Wagombea wote na Natumaini Uchaguzi utakuwa
wa SAWA na HAKI..! Mwisho,mimi nimejiandikisha na nina KIKATIO changu
tayari,napenda kuwahimiza wananchi/WaTanzania wenzangu kujitokeza katika
uchaguzi ili kumchagua yule unayeona anakufaa….tuombe Mungu na
Tujitahidi uchaguzi uwe wa Amani na tuepuke maneno au vitu Vyovyote
vinavyoweza kuashiria kuleta vurugu katika uchaguzi wetu
Mkuu…!#MunguIbarikiTanzania#KuelekeaUchaguziMkuuOctober2015#KuraYanguSiriYangu
”
P yhaa tv coming soon
Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share
face book ipyana stephen
Share
Share
instagram p yhaa tv
instagram p yhaa tv
usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos

0 comments:
Post a Comment