GHARAMA YAIKWAMISHA WEST HAM KUMSAJILI ADEBAYOR



Ungozi wa West Ham umeamua kuwa wazi kwamba pamoja na kwamba ulikuwa unamtaka Emmanuel Adebayor kwa udi na uvumba, lakini imeshindwa kutokana mshambuliaji huyo kuwa ghali sana.


Makamu Mwenyekiti wa West Ham, David Gold amesema gharama ndiyo zilizowashinda.


Mshambuliaji huyo Mtogo, alitarajia kuondoka Tottenham na kujiunga na timu hiyo ya Upton Park lakini gharama imekuwa shidaaa.
P yhaa tv coming soon

Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share
 


face book ipyana stephen






  Share


















usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos 





Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment