Chelsea yamsajili Michael Hector kutoka Reading,

Klabu ya soka ya Chelsea imefunga dirisha la usajili msimu huu kwani, kwa Uingereza dirisha la usajili lilikuwa limefungwe jioni ya Septemba 1 wakati kwa upande wa Hispania na Ufaransa wao dirisha la usajili lilifungwa usiku wa August 31.
1
Chelsea imemalizia usajili wake kwa kumsajili beki kutoka katika klabu ya Reading Michael Hector lakini imemsajili na kumuacha aendelee kucheza kwa mkopo katika klabu hiyo, Chelsea imeendeleza utamaduni wake wa kutoa wachezaji wengi kwa mkopo.
Michael Hector mwenye umri wa miaka 23 hadi anasajiliwa na Chelsea, alikuwa ameichezea klabu ya Reading mechi 49 katika mashindano yote, ikiwa ni pamoja na dakika 120 za mchezo wa nusu fainali ya Kombe la FA na kufungwa na klabu ya Arsenal.
P yhaa tv coming soon

Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share
 


face book ipyana stephen






  Share


















usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos 





Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment