ALIYETEMWA NIGERIA DHIDI YA STARS ATUPWA WEST HAM KWA MKOPO



Mshambuliaji Mnigeria aliyetemwa kwenye kikosi cha Nigeria na kocha mpya Sunday Oliseh kwa ajili ya kuivaa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars ametupwa kwa mkopo West Ham United.


Septemba 5, Stars itacheza na Nigeria kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam katika mechi ya kuwania kucheza Afcon.
 
Huyo ni Victor Moses ambaye licha ya kusaini mkataba wa miaka minne na Chelsea, lakini kocha wake Jose Mourinho amekubali kumpeleka kwa mkopo West Ham.

Msimu uliopita, Moses alimaliza msimu akiwa kwa mkopo Stoke City. Safari hii alirejea na Chelsea ikampa mkataba mpya wa miaka minne lakini imeshangaza kwa kumuachia kwa mkopo tena.


P yhaa tv coming soon

Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share
 


face book ipyana stephen






  Share


















usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos 






Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment